Wanamichezo Waislamu
LONDON (IQNA) - Aston Villa imekuwa klabu ya tano ya Ligi Kuu ya Soka Uingereza (EPL) kusaini mkataba wa kuwalinda wanamichezo wa Kiislamu.
Habari ID: 3477486 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24
TEHRAN–(IQNA) - Ligi Kuu ya Soko Uingereza(England)-EPL-, imewaruhusu wachezaji Waislamu kufungua suamu ya Mwezi Mtukufu waRamadhani kati kati ya mechi.
Habari ID: 3473862 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30
TEHRAN (IQNA)- Wiki za hivi karibuni nchini Uingereza, mshambuliaji Muislamu na Mwarabu wa Timu ya Soka ya Liverpool katika Ligi Kuu ya maarufu kama EPL amevuma kwa umahiri na dini yake.
Habari ID: 3471405 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/26